20 Mara tu Waisraeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, wakamwita mbele ya kusanyiko, nao wakamweka kuwa mfalme wa Waisraeli wote.+ Hakuna yeyote aliyeifuata nyumba ya Daudi isipokuwa kabila la Yuda.+
11Rehoboamu alipofika Yerusalemu, mara moja aliikusanya nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini,+ mashujaa 180,000 waliozoezwa,* ili wapigane na Waisraeli na kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.+