12 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, sitafanya hivyo maishani mwako. Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwana wako,+ 13 lakini sitaurarua ufalme wote.+ Kabila moja nitampa mwana wako,+ kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu na kwa ajili ya Yerusalemu, jiji ambalo nimechagua.”+