Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Wafalme 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Alishikamana kabisa na Yehova.+ Hakugeuka na kuacha kumfuata; aliendelea kushika amri ambazo Yehova alimpa Musa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Daudi babu yake.+

  • Hosea 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+

      Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+

      Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+

      Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki