Hosea 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Pigeni pembe+ huko Gibea, tarumbeta huko Rama!+ Pigeni kelele za vita huko Beth-aveni+—tunawafuata, enyi Wabenjamini! Hosea 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+ Watu wake wataiombolezea,Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.
8 Pigeni pembe+ huko Gibea, tarumbeta huko Rama!+ Pigeni kelele za vita huko Beth-aveni+—tunawafuata, enyi Wabenjamini!
5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+ Watu wake wataiombolezea,Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.