Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+ Hosea 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+ Watu wake wataiombolezea,Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.
15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+
5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+ Watu wake wataiombolezea,Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.