Hosea 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi. Hosea 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+ Amosi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Njooni Betheli mtende dhambi,*+Njooni Gilgali mzidi kutenda dhambi!+ Leteni dhabihu zenu+ asubuhi,Na sehemu zenu za kumi+ katika siku ya tatu.
15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi.
11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+
4 ‘Njooni Betheli mtende dhambi,*+Njooni Gilgali mzidi kutenda dhambi!+ Leteni dhabihu zenu+ asubuhi,Na sehemu zenu za kumi+ katika siku ya tatu.