Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko.

      Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+

      Sitawapenda tena;+

      Wakuu wao wote ni wakaidi.

  • Hosea 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo.

      Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+

      Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+

  • Amosi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 ‘Njooni Betheli mtende dhambi,*+

      Njooni Gilgali mzidi kutenda dhambi!+

      Leteni dhabihu zenu+ asubuhi,

      Na sehemu zenu za kumi+ katika siku ya tatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki