Hosea 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Waefraimu wamezidisha madhabahu ili watende dhambi.+ Zikawa madhabahu walizotumia kutenda dhambi.+ Hosea 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+ Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+ Wamegeuka na kurudi* Misri.+
11 Kwa maana Waefraimu wamezidisha madhabahu ili watende dhambi.+ Zikawa madhabahu walizotumia kutenda dhambi.+
13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+ Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+ Wamegeuka na kurudi* Misri.+