Isaya 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+ Amosi 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata mkinitolea dhabihu nzima za kuteketezwa na matoleo ya zawadi,Sitazifurahia;+Nami sitapendezwa na dhabihu zenu za ushirika za wanyama waliononeshwa.+
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+
22 Hata mkinitolea dhabihu nzima za kuteketezwa na matoleo ya zawadi,Sitazifurahia;+Nami sitapendezwa na dhabihu zenu za ushirika za wanyama waliononeshwa.+