Hosea 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+ Hosea 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+
16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+
3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+