Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+ Hosea 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi. Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*
15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+
15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi.
5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*