Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+ Amosi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Njooni Betheli mtende dhambi,*+Njooni Gilgali mzidi kutenda dhambi!+ Leteni dhabihu zenu+ asubuhi,Na sehemu zenu za kumi+ katika siku ya tatu.
15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+
4 ‘Njooni Betheli mtende dhambi,*+Njooni Gilgali mzidi kutenda dhambi!+ Leteni dhabihu zenu+ asubuhi,Na sehemu zenu za kumi+ katika siku ya tatu.