Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ 29 Kisha akamweka ndama mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

  • Hosea 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+

      Na juu ya vilima wanafukiza moshi wa dhabihu,

      Chini ya mialoni na milubna na kila mti mkubwa,+

      Kwa sababu vivuli vyake ni vizuri.

      Ndiyo sababu mabinti wenu wanafanya ukahaba*

      Na mabinti wakwe zenu wanafanya uzinzi.

  • Amosi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Kwa maana siku nitakapowafanya Waisraeli wawajibike* kwa sababu ya maasi yao yote,*+

      Pia nitawafanya wawajibike kwa sababu ya madhabahu za Betheli;+

      Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka ardhini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki