2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Hosea 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi.
6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko. Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+ Sitawapenda tena;+Wakuu wao wote ni wakaidi.