2 Samweli 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wasiria wa Damasko+ walipokuja kumsaidia Mfalme Hadadezeri wa Soba, Daudi aliwaua Wasiria 22,000.+ 1 Wafalme 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova akamwambia: “Rudi, nenda katika nyika ya Damasko. Utakapofika huko, mtie mafuta Hazaeli+ awe mfalme wa Siria. Isaya 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko,Na kichwa cha Damasko ni Resini. Katika muda wa miaka 65 tuEfraimu litavunjwa kabisa na halitakuwa taifa tena.+
15 Yehova akamwambia: “Rudi, nenda katika nyika ya Damasko. Utakapofika huko, mtie mafuta Hazaeli+ awe mfalme wa Siria.
8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko,Na kichwa cha Damasko ni Resini. Katika muda wa miaka 65 tuEfraimu litavunjwa kabisa na halitakuwa taifa tena.+