Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wanaume wazembe, wasiofaa kitu wakaendelea kujiunga naye. Nao walimzidi maarifa Rehoboamu mwana wa Sulemani, Rehoboamu alipokuwa kijana mchanga asiye na ujasiri, naye hangeweza kushindana nao.

  • Mathayo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sulemani akawa baba ya Rehoboamu;+

      Rehoboamu akawa baba ya Abiya;

      Abiya akawa baba ya Asa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki