26 Pia kulikuwa na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Mwefraimu kutoka Sereda, mtumishi wa Sulemani,+ na mama yake aliyekuwa mjane aliitwa Serua. Yeye pia alianza kumwasi* mfalme.+
40 Basi Sulemani akajaribu kumuua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akakimbilia Misri, kwa Mfalme Shishaki+ wa Misri,+ akaendelea kukaa Misri mpaka Sulemani alipokufa.