2 Samweli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka pembeni ndani ya lango ili azungumze naye faraghani. Hata hivyo, Yoabu akamchoma kwa upanga tumboni, naye akafa;+ kwa sababu alimuua* Asaheli ndugu yake.+ 2 Samweli 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alimuua Asaheli ndugu yao vitani+ kule Gibeoni.
27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka pembeni ndani ya lango ili azungumze naye faraghani. Hata hivyo, Yoabu akamchoma kwa upanga tumboni, naye akafa;+ kwa sababu alimuua* Asaheli ndugu yake.+
30 Basi Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alimuua Asaheli ndugu yao vitani+ kule Gibeoni.