2 Wafalme 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wasiria waliposhuka kuelekea mahali alipokuwa, Elisha akasali kwa Yehova na kusema: “Tafadhali, lipige kwa upofu taifa hili.”+ Basi akawapiga kwa upofu kama Elisha alivyoomba.
18 Wasiria waliposhuka kuelekea mahali alipokuwa, Elisha akasali kwa Yehova na kusema: “Tafadhali, lipige kwa upofu taifa hili.”+ Basi akawapiga kwa upofu kama Elisha alivyoomba.