2 Wafalme 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipoanza kushuka kumwendea, Elisha akaendelea kusali kwa Yehova na kusema: “Tafadhali, lipige taifa hili kwa upofu.”+ Basi yeye akawapiga kwa upofu kulingana na neno la Elisha. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:18 “Kila Andiko,” uku. 71
18 Walipoanza kushuka kumwendea, Elisha akaendelea kusali kwa Yehova na kusema: “Tafadhali, lipige taifa hili kwa upofu.”+ Basi yeye akawapiga kwa upofu kulingana na neno la Elisha.