1 Mambo ya Nyakati 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+ Mathayo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani akawa baba ya Rehoboamu;+ Rehoboamu akawa baba ya Abiya; Abiya akawa baba ya Asa;+
10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+