-
1 Mambo ya Nyakati 26:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Huyu Shelomothi na ndugu zake walisimamia hazina zote za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu,+ ambavyo Mfalme Daudi,+ viongozi wa koo,*+ wakuu wa maelfu na wa mamia, na wakuu wa jeshi walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. 27 Baadhi ya vitu walivyopata vitani+ na baadhi ya nyara+ walizifanya kuwa takatifu ili kuidumisha nyumba ya Yehova;
-