Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:1-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika mwaka wa 36 wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha+ wa Israeli alikuja kushambulia Yuda, akaanza kujenga* Rama+ ili kumzuia mtu yeyote asitoke wala kuingia kwa* Mfalme Asa wa Yuda.+ 2 Ndipo Asa akatoa fedha na dhahabu kutoka katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya* mfalme na kumpelekea Mfalme Ben-hadadi wa Siria,+ aliyekuwa akiishi Damasko, akamwambia: 3 “Kuna mkataba* kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Ninakutumia fedha na dhahabu. Njoo, vunja mkataba wako* na Mfalme Baasha wa Israeli, ili aondoke kwangu.”

      4 Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akawatuma wakuu wa majeshi yake kushambulia majiji ya Israeli, wakashinda Iyoni,+ Dani,+ Abel-maimu, na maghala yote ya majiji ya Naftali.+ 5 Baasha aliposikia habari hizo, mara moja akaacha kujenga* Rama, akasimamisha kazi hiyo. 6 Kisha Mfalme Asa akawachukua watu wote wa Yuda, nao wakabeba mawe na mbao zilizokuwa zikitumiwa na Baasha kujenga Rama,+ akazitumia kujenga* Geba+ na Mispa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki