20Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo.
24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake.