Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo.

  • 2 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake.

  • Amosi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ole wao wanaojitumaini* huko Sayuni,

      Wale wanaojiona wakiwa salama katika mlima wa Samaria,+

      Wanaume maarufu wa taifa kuu zaidi kati ya mataifa,

      Wale ambao nyumba ya Israeli huwaendea!

  • Matendo 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa Filipo akashuka kwenda jiji la Samaria*+ akaanza kuwahubiria kumhusu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki