Hesabu 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa jambo ninalosema litatimia kwako au la.” Waamuzi 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Mungu akapasua mahali penye shimo huko Lehi, na maji yakatiririka kutoka humo.+ Alipoyanywa, roho yake ikamrudia* akapata nguvu tena. Ndiyo sababu aliiita sehemu hiyo En-hakore,* nayo iko Lehi mpaka leo.
23 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Je, mkono wa Yehova ni mfupi?+ Sasa utaona ikiwa jambo ninalosema litatimia kwako au la.”
19 Basi Mungu akapasua mahali penye shimo huko Lehi, na maji yakatiririka kutoka humo.+ Alipoyanywa, roho yake ikamrudia* akapata nguvu tena. Ndiyo sababu aliiita sehemu hiyo En-hakore,* nayo iko Lehi mpaka leo.