Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.” Isaya 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Tazama! Mkono wa Yehova si mfupi usiweze kuokoa,+Wala sikio lake si zito lisiweze kusikia.+ Marko 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+ Luka 1:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 kwa sababu kwa Mungu hakuna tangazo* lisilowezekana.”+
14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”
27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+