Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.” Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yehova?+ Nitarudi kwako mwaka ujao wakati huuhuu, na Sara atakuwa na mwana.”
26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+