Isaya 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye humpa nguvu mtu aliyechokaNa kuwapa uwezo kamili wale wasio na nguvu.*+ Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+ Luka 1:36, 37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Tazama! Hata Elisabeti mtu wako wa ukoo, ingawa amezeeka ana mimba ya miezi sita, yule anayejulikana kuwa tasa; 37 kwa sababu kwa Mungu hakuna tangazo* lisilowezekana.”+
26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
36 Tazama! Hata Elisabeti mtu wako wa ukoo, ingawa amezeeka ana mimba ya miezi sita, yule anayejulikana kuwa tasa; 37 kwa sababu kwa Mungu hakuna tangazo* lisilowezekana.”+