2 Wafalme 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi akapanda na kumlaza kwenye kitanda cha mtu wa Mungu wa kweli,+ akafunga mlango na kuondoka. 2 Wafalme 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Elisha alipoingia katika nyumba hiyo, mvulana huyo alikuwa amelala kwenye kitanda chake akiwa mfu.+
32 Elisha alipoingia katika nyumba hiyo, mvulana huyo alikuwa amelala kwenye kitanda chake akiwa mfu.+