9 Basi mwanamke huyo akamwambia mume wake: “Najua kwamba mtu huyu anayepitia hapa kila mara ni mtu mtakatifu wa Mungu. 10 Tafadhali, acha tutengeneze chumba kidogo juu ya paa,+ tumwekee humo kitanda, meza, kiti, na kinara cha taa. Kisha, wakati wowote anapotutembelea, anaweza kukaa humo.”+