Mathayo 10:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yeyote anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ na yeyote anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu. Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Iweni wakaribishaji wageni.*+ Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+
41 Yeyote anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ na yeyote anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.
2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+