Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akamwambia: “Jina lako halitakuwa tena Yakobo bali Israeli,*+ kwa maana umepambana na Mungu+ na wanadamu na hatimaye umeshinda.” Mwanzo 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,*+ kwa sababu alisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, lakini uhai wangu umeokolewa.”*+ Mwanzo 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+ Isaya 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+
28 Kisha akamwambia: “Jina lako halitakuwa tena Yakobo bali Israeli,*+ kwa maana umepambana na Mungu+ na wanadamu na hatimaye umeshinda.”
30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,*+ kwa sababu alisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, lakini uhai wangu umeokolewa.”*+
10 Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+
48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+