Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha akamwambia: “Jina lako halitakuwa tena Yakobo bali Israeli,*+ kwa maana umepambana na Mungu+ na wanadamu na hatimaye umeshinda.”

  • Mwanzo 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,*+ kwa sababu alisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, lakini uhai wangu umeokolewa.”*+

  • Mwanzo 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+

  • Isaya 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,

      Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+

      Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*

      Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+

      Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,

      Ingawa si katika kweli na uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki