Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo hofu ikaenea katika kambi iliyo shambani na miongoni mwa watu wote waliokuwa katika kituo cha ulinzi, na hata makundi ya wavamizi+ yakashikwa na hofu. Dunia ikaanza kutetemeka, kukawa na hofu kubwa kutoka kwa Mungu.

  • Ayubu 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Huitikisa dunia kutoka mahali pake,

      Hivi kwamba nguzo zake zinatetemeka.+

  • Zaburi 68:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Dunia ilitetemeka;+

      Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;

      Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+

  • Nahumu 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Milima hutetemeka kwa sababu yake,

      Na vilima huyeyuka.+

      Dunia itasukasuka kwa sababu ya uso wake,

      Pamoja na nchi na wote wanaoishi humo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki