Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+

      Misingi ya mbingu ikasukasuka+

      Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+

  • Zaburi 68:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ee Mungu, ulipowaongoza* watu wako,+

      Ulipopiga mwendo jangwani, (Sela)

       8 Dunia ilitetemeka;+

      Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;

      Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki