2 Samweli 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+Misingi ya mbingu ikasukasuka+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+ Zaburi 68:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Mungu, ulipowaongoza* watu wako,+Ulipopiga mwendo jangwani, (Sela) 8 Dunia ilitetemeka;+Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+
8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+Misingi ya mbingu ikasukasuka+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
7 Ee Mungu, ulipowaongoza* watu wako,+Ulipopiga mwendo jangwani, (Sela) 8 Dunia ilitetemeka;+Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+