5 Ndipo Yehova akashuka+ katika wingu na kusimama pamoja naye huko na kutangaza jina lake, Yehova.+ 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu+ na kweli,+