Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+ Kutoka 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini akamwambia: “Nitaufanya wema wangu wote upite mbele ya uso wako, nami nitatangaza jina langu Yehova mbele yako;+ nami nitamwonyesha kibali yule ninayetaka kumwonyesha kibali, nami nitamwonyesha rehema yule ninayetaka kumwonyesha rehema.”+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+
19 Lakini akamwambia: “Nitaufanya wema wangu wote upite mbele ya uso wako, nami nitatangaza jina langu Yehova mbele yako;+ nami nitamwonyesha kibali yule ninayetaka kumwonyesha kibali, nami nitamwonyesha rehema yule ninayetaka kumwonyesha rehema.”+