13 Lakini Musa akamwambia Mungu wa kweli: “Tuseme niende kwa Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa mababu zenu amenituma kwenu,’ nao waniulize, ‘Jina lake ni nani?’+ Niwaambie nini?”
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+