Kutoka 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni shujaa mwenye nguvu.+ Yehova ndilo jina lake.+ Zaburi 96:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+Leteni zawadi na mwingie katika nyua zake. Zaburi 135:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, jina lako linadumu milele. Ee Yehova, umaarufu wako unadumu* katika vizazi vyote.+ Hosea 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova Mungu wa majeshi,+Yehova ndilo jina lake la ukumbusho.*+ Yohana 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nimewajulisha jina lako nami nitalijulisha,+ ili upendo ulionipenda uwe ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”+
26 Nimewajulisha jina lako nami nitalijulisha,+ ili upendo ulionipenda uwe ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+