Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni shujaa mwenye nguvu.+ Yehova ndilo jina lake.+

  • Zaburi 96:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

      Leteni zawadi na mwingie katika nyua zake.

  • Zaburi 135:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, jina lako linadumu milele.

      Ee Yehova, umaarufu wako unadumu* katika vizazi vyote.+

  • Hosea 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova Mungu wa majeshi,+

      Yehova ndilo jina lake la ukumbusho.*+

  • Yohana 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nimewajulisha jina lako nami nitalijulisha,+ ili upendo ulionipenda uwe ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+

  • Waroma 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki