Zaburi 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili. Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.* Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jina lake tukufu na lisifiwe milele,+Na utukufu wake ujae duniani pote.+ Amina na Amina.