Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengi

      Na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa

      —Mnawanyanyasa waadilifu,

      Mnapokea rushwa,*

      Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+

  • Habakuki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa hiyo sheria haifanyi kazi,

      Na haki haitekelezwi kamwe.

      Kwa maana mwovu amemzingira mwadilifu;

      Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki