Amosi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+ Habakuki 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo sheria haifanyi kazi,Na haki haitekelezwi kamwe. Kwa maana mwovu amemzingira mwadilifu;Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+
12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+
4 Kwa hiyo sheria haifanyi kazi,Na haki haitekelezwi kamwe. Kwa maana mwovu amemzingira mwadilifu;Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+