Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mahema ya wezi yana amani,+

      Na wale wanaomkasirisha Mungu wako salama,+

      Wale wanaobeba mungu wao mikononi mwao.

  • Zaburi 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Waovu wanatembea huku na huku kwa uhuru

      Kwa sababu wanadamu wanaendeleza upotovu.+

  • Mhubiri 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+

  • Isaya 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+

      Ulikuwa umejaa haki;+

      Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+

      Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+

  • Matendo 7:52, 53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua wale waliotangaza mapema kuhusu kuja kwa yule mwadilifu,+ ambaye ninyi mmemsaliti na kumuua,+ 53 ninyi mliopokea Sheria kupitia malaika+ lakini hamkuishika.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki