Ayubu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mahema ya wezi yana amani,+Na wale wanaomkasirisha Mungu wako salama,+Wale wanaobeba mungu wao mikononi mwao. Zaburi 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Waovu wanatembea huku na huku kwa uhuruKwa sababu wanadamu wanaendeleza upotovu.+ Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+ Isaya 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+ Matendo 7:52, 53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua wale waliotangaza mapema kuhusu kuja kwa yule mwadilifu,+ ambaye ninyi mmemsaliti na kumuua,+ 53 ninyi mliopokea Sheria kupitia malaika+ lakini hamkuishika.”
6 Mahema ya wezi yana amani,+Na wale wanaomkasirisha Mungu wako salama,+Wale wanaobeba mungu wao mikononi mwao.
11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+
21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+
52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua wale waliotangaza mapema kuhusu kuja kwa yule mwadilifu,+ ambaye ninyi mmemsaliti na kumuua,+ 53 ninyi mliopokea Sheria kupitia malaika+ lakini hamkuishika.”