Zaburi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+ Zaburi 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Anasema moyoni mwake: “Sitatikiswa kamwe;*Kizazi baada ya kizaziSitaona msiba kamwe.”+