Methali 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwenye hekima hujihadhari na kuepuka uovu,Lakini mpumbavu hajali,* naye anajiamini kupita kiasi. Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+
11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+