Zaburi 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ 2 Lakini Yehova anawatazama wanadamu kutoka mbinguniIli aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+ Zaburi 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ Sefania 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+
14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ 2 Lakini Yehova anawatazama wanadamu kutoka mbinguniIli aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+
53 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+
12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+