Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mpumbavu* husema moyoni mwake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;

      Hakuna yeyote anayetenda mema.+

       2 Lakini Yehova anawatazama wanadamu kutoka mbinguni

      Ili aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+

  • Zaburi 53:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Mpumbavu* husema moyoni mwake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;

      Hakuna yeyote anayetenda mema.+

  • Sefania 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,

      Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,

      ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki