Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku duniani kote+ ili adhihirishe nguvu zake* kwa niaba ya wale ambao moyo wao ni kamili* kumwelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa na kuendelea kutakuwa na vita dhidi yako.”+

  • Zaburi 33:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova anatazama chini kutoka mbinguni;

      Anawaona wanadamu wote.+

      14 Kutoka katika makao yake,

      Anawakazia macho wakaaji wa dunia.

      15 Yeye ndiye anayeumba mioyo ya wote;

      Huchunguza kazi zao zote.+

  • Waebrania 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki