Zaburi 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimemwona mtu mkatili, mwovuAkisambaa kama mti wenye majani mengi katika udongo wake wa asili.+ Zaburi 73:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naam, hivyo ndivyo walivyo waovu, ambao sikuzote wanastarehe.+ Wanaendelea kuongeza mali zao.+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?
12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?