Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

      Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

      Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

      Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

  • Matendo 3:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza Mtumishi wake,+ Yesu,+ ambaye ninyi mlimkabidhi+ na kumkana mbele ya Pilato, ingawa alikuwa ameamua kumfungua. 14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki