Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi mfalme akafa, akaletwa Samaria; wakamzika mfalme huko Samaria. 38 Walipolisafisha gari hilo la vita kando ya kidimbwi cha Samaria, mbwa waliramba damu yake na makahaba wakaogea mahali hapo,* kama Yehova alivyokuwa amesema.+

  • 2 Wafalme 9:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha akamwambia Bidkari kamanda wake msaidizi: “Mwinue na umtupe katika shamba la Nabothi, Myezreeli.+ Kumbuka kwamba mimi na wewe tulipokuwa tukiendesha magari ya farasi* tukimfuata Ahabu baba yake, Yehova mwenyewe alitangaza hivi dhidi yake:+ 26 ‘“Kwa hakika kama nilivyoona damu ya Nabothi+ na damu ya wanawe jana,” asema Yehova, “nitakulipa+ wewe katika shamba hilihili,” asema Yehova.’ Basi sasa mwinue na umtupe katika shamba hili, kulingana na neno la Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki