1 Wafalme 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwambie hivi: ‘Yehova anauliza hivi: “Je, umemuua mtu+ na kuchukua mali yake?”’+ Kisha mwambie, ‘Yehova anasema hivi: “Mahali ambapo mbwa waliramba damu ya Nabothi, ndipo watakapoiramba damu yako mwenyewe.”’”+
19 Mwambie hivi: ‘Yehova anauliza hivi: “Je, umemuua mtu+ na kuchukua mali yake?”’+ Kisha mwambie, ‘Yehova anasema hivi: “Mahali ambapo mbwa waliramba damu ya Nabothi, ndipo watakapoiramba damu yako mwenyewe.”’”+