7 Akamtumia pia ujumbe Mfalme Yehoshafati wa Yuda, akisema: “Mfalme wa Moabu ameniasi. Je, utaenda pamoja nami kupigana vita dhidi ya Moabu?” Akasema: “Nitaenda.+ Mimi ni kama wewe. Watu wangu ni kama watu wako. Farasi wangu ni kama farasi wako.”+
2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.