2 Wafalme 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tena akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akisema: “Mfalme wa Moabu ameniasi. Je, utaenda pamoja nami kuwapiga vita Moabu?” Naye akasema: “Nitaenda.+ Mimi ni sawa na wewe; watu wangu ni sawa na watu wako;+ farasi wangu ni sawa na farasi wako.”
7 Tena akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akisema: “Mfalme wa Moabu ameniasi. Je, utaenda pamoja nami kuwapiga vita Moabu?” Naye akasema: “Nitaenda.+ Mimi ni sawa na wewe; watu wangu ni sawa na watu wako;+ farasi wangu ni sawa na farasi wako.”